Astashahada, Stashahada Msizipe Kisogo: WaziriJafo


 Waziri wa Nchi OR TAMISEMI Mhe. Seleman Jafo (Mb), alipokuwa akizundua mnara wa kuenzi uzalendo wa Mhe.Rais wa awamu ya tano wa Tanzania katika chuo cha Hombolo

Kikundi cha Ngoma za asilicha Swala kinachopatikana katika Kijiji cha Nkoyo, Hombolo ambacho ni maarufu katika mkoa wa Dodoma hususan kudumisha utamaduni wa mtanzani
 Hapa ndipo Magufuli Square, Sehemu iliyojengwa mahusus kwaajili yakuenzi uzalendo wa Mhe. Rais John Pombe Magufuli kwa vitendo
 Bodi ya Chuo cha Hombolo iliyo maliza muda wake wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa mnara wa fikra za kizalendo za Mhe. Rais Maguful
 Na AtleyKuni OR TAMISEMI
WaziriwaNchiOfisiyaRaisTawalazaMikoanaSerikalizaMitaaMhe. SelemaniJafoamesemakuanzakwakozizangaziyaShahadakatika Chuo cha SerikalizaMitaaHombolokisiwekigezo cha kuondoshakozizaAstashahadanaStashahadakatikachuohicho.

WaziriJafoalikuwaakizunduarasmiBustaniya  MagufulikatikachuohichoambapoBustanihiyoitatumikakuishinakuenzimchangowakiongozihuyowaNchikwasasaambaoniuzalendo, kujitumapamojanauadilifukatikakuwatumikiawananchi.

“NimesikiamaombiyenuyakutakaKuanzishwakwakozizaNgaziyaShahadakusudimtuanapohitimumasomoyakeyangazizaawaliawezekuendelea, naombaniwambie, tutajitahidilifanikiwe, lakiniangalizolangukwenu, tutakapoanzisha Degree 
isiwesababuyakusitishakozizinazoendeleakwasasa, ikiwepoAstashahada (Certificate) naStashahada (Diploma) yakozimnazoendeleanazo” amesemaJafo.
WaziriJafoamesema, vyuovingivilipoanzishangaziyaShahadanakusahauwataalamwakadazakativilichocheakukosekanakwawataalamwakutoshakatikangaziyakatihususanmafundimchundoambaowalikuwawakizalishwakatikavyuohivyo.
KatikahatuanyingineWaziriJafoamewahakikishiaWakurufunzihaowachuo cha HombolouhakikawakuajiriwanaSerikalikwa wale watakaofikiavigezovinavyohitajikakatikanafasimbalimbaliambazoserikaliitatangaza.
“TumebainiWataalamwachuo cha Hombolo  tunaowaajirikatikakadazaMaafisaWatendajiwaVijiji, Kata nahataTarafawanauelewampanawaMasualayajamiizawatanzaniahususanni wale waishiovijijini, hivyobasitunapotangazaajirakipaumbeletutakitoakwa  wanafunziwachuohiki” amesemaWaziriJafo.
Mhe.Jafohakusitakuoneshafurahayakekwajinsichuohichokilivyojizatitikatikasuala la utunzajiwamazingira, hatuaambayoameitajani  kumuungamkonoMakamuwaRaiswaJamhuriyaMuunganowa Tanzania Mhe. SamiaSuluhu Hassan ambayekupitiaWizarayaMazingiranaMuunganoamekuwamstariwambelekuhakikishawatanzaniawanantunzamazingira.
MbaliyapongezihizoWaziri  ametoamaelekezokwauongoziwaManispaaya Dodoma kuanzakampeniyaupandajiwamitiyaMatunda. “Tunataka Dodoma iwe Fruit City” amenukuliwaWaziri
KwaUpande wake MwenyekitiwaBodiinayomalizaMuda wake Prof. Suleiman Ngware, yeyealisemalengo la kujengaBustaniya  MagufulinikuungamkonojuhudizaMhe. Raiskatikakusimamiarasilimalizanchikwamoyouzalendonauadilifuwadhati.
“Mhe.WaziriShabahayakuwanaBustaniyaainahiiyenyeMnarawaMagufulinikutambuamchangomkubwanamoyowakizalendoalionaoRaiswetu, sasatunachotakaninihapa, 
kilamtuatakayeuangaliamnarahuuawezekujitathminimwenyewebilayakusukumwanamtu, Je! Mimi kamaMkufunzininatimizawajibuwangu? Mimi kamaMwanafunzinafanyamatendosawanaRaiswangu? Mimi kamaMwenyekitiwaBodi au 
MkuuwaShulesifanyimanyanyasokwawatusibaguiwatunk, nk". AmesemaMwenyekitihuyo.

KilaMwakaifikapoAprili 18, Bodi, Uongozi, WanafunzinaWananchiwanaozungukaeneo la chuowatakuwawakikutanakwapamojanakujitathminikwamienendonamatendoyaoyautendajiwamwakamzima, Chuo cha SerikalizaMitaaHombolokwasasakinawanafunzizaidiya 3000.
Mwisho

Astashahada, Stashahada Msizipe Kisogo: WaziriJafo Astashahada, Stashahada Msizipe Kisogo: WaziriJafo Reviewed by KUSAGANEWS on April 18, 2018 Rating: 5

No comments: