Wakati wananchi wakilalamikia
fedha kutoweka mifukoni, Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali
inatumia Sh900 bilioni kati ya Sh1.33 trilioni inazokusanya kila mwezi, kulipa
madeni.
Alisema hayo wakati akifungua
mkutano wa waganga wakuu wa mikoa na wilaya nchini mjini hapa jana.
Kauli yake imekuja wakati kukiwa na mjadala kuhusu uchumi, baadhi ya watu kusema hali inazidi kuwa mbaya wakati taasisi za Serikali zikitoa takwimu zinazoonyesha kuwa uchumi uko imara.
SAMIA – SERIKALI INALIPA MADENI YA BILIONI 900 KILA MWEZI
Reviewed by KUSAGANEWS
on
October 17, 2016
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
October 17, 2016
Rating:


No comments:
Post a Comment