Yanga imefuzu katika hatua ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho ikiwa na timu nyingine 15.



 
 
 
 
 
 

Timu hizo 15 zinatokea katika mataifa 11 ambayo yana upinzani mkubwa wa kisoka.


Mataifa hayo ni Mali, Algeria, Misri, Nigeria, Gabon, Swaziland, Ivory Coast, Ghana, Tunisia, DR Congo na Morocco.

Yanga inakutana na Etoile du Sahel ya Tunisia katika raundi hiyo.


Kikosi hicho cha Mholanzi, Hans van der Pluijm kimefuzu baada ya kuing’oa FC Platnum ya Zimbabwe.


Team 1Agg.Team 21st leg2nd leg
Onze Créateurs Mali
Ivory Coast ASEC Mimosas17–19 Apr1–3 May
Djoliba Mali
Ghana Hearts of Oak17–19 Apr1–3 May
ASO Chlef Algeria
Tunisia Club Africain17–19 Apr1–3 May
Warri Wolves Nigeria
Democratic Republic of the Congo MK Etanchéité17–19 Apr1–3 May
Zamalek Egypt
Morocco FUS Rabat17–19 Apr1–3 May
CF Mounana Gabon
South Africa Orlando Pirates17–19 Apr1–3 May
Young Africans Tanzania
Tunisia Ã‰toile du Sahel17–19 Apr1–3 May
Royal Leopards Swaziland
Democratic Republic of the Congo AS Vita Club17–19 Apr1–3 May
Yanga imefuzu katika hatua ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho ikiwa na timu nyingine 15. Yanga imefuzu katika hatua ya pili ya michuano ya Kombe la Shirikisho ikiwa na timu nyingine 15. Reviewed by KUSAGANEWS on April 06, 2015 Rating: 5

No comments: