Mamlaka
nchini Somalia imevifunga vituo viwili vya redio nchini humo baada ya
kutangaza habari za wapiganaji wa Al-shabaab kuhusu shambulio la chuo
kikuu nchini Kenya.
Vikosi vya usalama nchini Somali vimekuwa vikiwakamata wanahabari ambao hufanya mahojiano na wapiganaji wa Al-shabaab ama kutangaza habari zao.
Garissa Redio 2 zafungwa Somalia.
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 06, 2015
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 06, 2015
Rating:


No comments:
Post a Comment