TUNATAMANI KUJENGEWA HOSPITALI KUBWA ARUSHA -MAKONDA.











 Mkuu wa Mkoa wa Arusha , Paul Makonda amewaomba Wenyeviti wa Bodi na watendaji  Wakuu na Taasisi za Umma kuchangamkia Fursa ya uwekezaji katika utalii wa matibabu kwa kujenga hospitali kubwa itakayokidhi mahitaji ya wageni mbalimbali wanaotembelea jiji hilo.


Akizungumza katika kikao Kazi cha wenyeviti wa Bodi na Watendaji wa Taasisi za Umma kilichohudhuriwa na Rais Samia Suluhu Hassan ,Makonda amesema matamanio ya Mkoa wa Arusha ni kuwa na Hospitali kubwa yenye madaktari kutoka mataifa tofauti na mbalimbali.



TUNATAMANI KUJENGEWA HOSPITALI KUBWA ARUSHA -MAKONDA. TUNATAMANI KUJENGEWA HOSPITALI KUBWA ARUSHA  -MAKONDA. Reviewed by KUSAGANEWS on August 28, 2024 Rating: 5

No comments: