Wizara ya ulinzi ya Urusi
imetoa maelezo kamili kuhusu ndege iliyoanguka Syria na kusababisha vifo vya
watu zaidi ya 30.
Kwa mujibu wa habari,ndege hiyo aina ya Antonov-26 haikushambuliwa kwa namna yoyote ile na kwamba uchunguzi kuhusu ajali hiyo umeanzishwa.
Imeripotiwa kuwa watu wote waliokuwa kwenye ndege hiyo walipoteza maisha na kwamba wote walikuwa ni askari wa jeshi la Urusi.
Hapo awali ilitangazwa kuwa abiria 26 na wafanyakazi 6 walipoteza maisha lakini idadi kamili ni abiria 33 na wafanyakazi sita ndio waliopoteza maisha katika ajali hiyo.
Kwa mujibu wa habari,ndege hiyo aina ya Antonov-26 haikushambuliwa kwa namna yoyote ile na kwamba uchunguzi kuhusu ajali hiyo umeanzishwa.
Imeripotiwa kuwa watu wote waliokuwa kwenye ndege hiyo walipoteza maisha na kwamba wote walikuwa ni askari wa jeshi la Urusi.
Hapo awali ilitangazwa kuwa abiria 26 na wafanyakazi 6 walipoteza maisha lakini idadi kamili ni abiria 33 na wafanyakazi sita ndio waliopoteza maisha katika ajali hiyo.
Wizara yaeleza kuhusu ndege ya Urusi iliyopata ajali Syria
Reviewed by KUSAGANEWS
on
March 07, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
March 07, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment