Tetemeko la ardhi lenye
ukubwa wa 6.7 limeikumba Papua New Guinea.
Kwa mujibu wa habari,watu 55 wamepoteza maisha katika tetemeko hilo.
Gavana William Powi amesema kuwa tetemeko hilo limetokea kilomita 112 kutokea mji wa Porgera mashariki mwa Papua New Guinea.
Mnamo tarehe 25 Februari watu 15 walipoteza maisha baada ya tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.5 kuukumba mji wa Porgera.
Kwa mujibu wa habari,watu 55 wamepoteza maisha katika tetemeko hilo.
Gavana William Powi amesema kuwa tetemeko hilo limetokea kilomita 112 kutokea mji wa Porgera mashariki mwa Papua New Guinea.
Mnamo tarehe 25 Februari watu 15 walipoteza maisha baada ya tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 7.5 kuukumba mji wa Porgera.
Tetemeko la ardhi laikumba Guinea
Reviewed by KUSAGANEWS
on
March 07, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
March 07, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment