Mbunge wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare amezuiwa na Jeshi la polisi nchini kufanya mkutano wa hadhara ambao ulipangwa kufanyika leo Februari 28, 2018 jimbo Bukoba Mjini katika uwanja wa Soko la Rwamishenye.
Taarifa iliyotolewa na jeshi la polisi inasema wamezuia mkutano huo kutokna na hali ya usalama katika wilaya hiyo na kuhusu taarifa za watu kushawishiwa kuandamana kwenye mitandao ya jamii.
Taarifa iliyotolewa na jeshi la polisi inasema wamezuia mkutano huo kutokna na hali ya usalama katika wilaya hiyo na kuhusu taarifa za watu kushawishiwa kuandamana kwenye mitandao ya jamii.
Mbunge azuiwa kufanya Mkutano na Polisi
Reviewed by KUSAGANEWS
on
February 28, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
February 28, 2018
Rating:



No comments:
Post a Comment