Manchester City
imepanda hadi nafasi ya tatu katika jedwali la ligi ya Uingereza baada
ya kuicharaza Stoke City 4-0 huku ikitarajiwa kumenyana ana Real Madrid
katika kombe la vilabu bingwa Ulaya siku ya Jumanne.
Cesc Fabregas alisaidia katika mabao matatu ya Chelsea akitoa pasi nzuri kwa wafungaji Pedro,Hazard na baadaye Willian.
Vilevile Newcastle iliimarisha matumaini yao ya kusalia katika ligi ya Uingereza baada ya kutoka sare ya 2-2 na wenyeji Liverpool katika uwanja wa Anfield.
Daniel Sturridge na Adam Lalana waliiweka mbele Liverpool kabla ya Newcastle kukomboa kupitia Papis Cisse na Colback .
Man City,Chelsea zashinda Liverpool yatoka sare
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 25, 2016
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 25, 2016
Rating:




No comments:
Post a Comment