Kwenye
ukurasa wake wa Facebook Diamond ameelezea huzuni hiyo, huku akitoa
taarifa kuwa kulikuwa na mipango mingi ya wao kufanya kazi, lakini mauti
yameshafuta mipango hiyo.
“Wiki nne tu zilizopita tulikuwa Paris, akanishirikisha kwenye nyimbo yake, tukapanga mengi juu ya wimbo halafu ghafla naskia habari ya msiba...Dah! nimesikitika sana. Hakika binadamu ni wazungumzaji tu ila Mwenyez Mungu ndiyo mpangaji...Pumzika salama Kiongozi wetu daima tutakukumbuka” aliandika Diamond Plutnums kwenye ukurasa wake wa facebook
Msanii Papa Wemba amefariki dunia jana baada ya kuanguka akiwa jukwaani akiimba na kufariki papo hapo nchi Ivory Coast.
“Wiki nne tu zilizopita tulikuwa Paris, akanishirikisha kwenye nyimbo yake, tukapanga mengi juu ya wimbo halafu ghafla naskia habari ya msiba...Dah! nimesikitika sana. Hakika binadamu ni wazungumzaji tu ila Mwenyez Mungu ndiyo mpangaji...Pumzika salama Kiongozi wetu daima tutakukumbuka” aliandika Diamond Plutnums kwenye ukurasa wake wa facebook
Msanii Papa Wemba amefariki dunia jana baada ya kuanguka akiwa jukwaani akiimba na kufariki papo hapo nchi Ivory Coast.
KIFO CHA PAPA WEMBA CHAHARIBU MIPANGO YA DIAMOND
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 28, 2016
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 28, 2016
Rating:



No comments:
Post a Comment