Mabingwa hao wanapanga kukibadilisha kikosi hicho hatua ambayo huenda ikawakosesha taji lolote.
Imebainika kuwa kilabu hiyo pia inapanga kumnunua mchezaji wa Brazil Coutinho.
Inadaiwa kuwa wakuu wa kilabu hiyo wanaamini Coutinho anaweza kuhamishwa hadi katika uwanja wa Etihad kwa kitita sha pauni millioni 20 iwapo Liverpool itashindwa kuorodheshwa miongoni mwa timu nne bora zitakazofuzu kucheza katika kombe la vilabu bingwa Ulaya.
Rodgers angependa sana kuwazuia wachezaji wake katika uwanja wa Anfield lakini pia anajua kwamba hawezi kushindana na mfuku mzito wa mmiliki wa kilabu hiyo Sheikh Mansou
Mancity yawalenga nyota 3 wa Liverpool
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 09, 2015
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 09, 2015
Rating:


No comments:
Post a Comment