Mwandishi wa BBC anasema hii ni ishara nyingine ya jinsi viongozi wa dini waandamizi wanavyochukulia hatua juu ya masuala kama vile ushoga na talaka , wakati wengine wanatakiwa kuyachukulia mambo kwa utuvu na uangalifu wa hali ya juu.
Kanisa Katoliki linautazamaje ushoga?
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 02, 2015
Rating:

No comments:
Post a Comment