Watu watano wa famÃlia moja wamelazwa hospitali ya wilaya ya
Urambo baada ya kula chakula kinachodhaniwa kuwa na sumu
Akizungumza leo Agosti 24 kamanda wa polisi mkoa wa Tabora,
Emmanuel Nley amesema tukio hilo limetokea katika kijiji cha Kamgembya, kata ya
Nsenda wilayani Urambo
Amesema wanafamilia hao watano waliolazwa hospitali ya
wilaya wanaendelea vizuri na hakuna yeyote aliyekamatwa kuhusiana na tukio hilo
Watano wa familia moja walazwa kwa kula sumu
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 24, 2018
Rating:

No comments:
Post a Comment