Serikali kujenga vituo vya afya vipya 208


Serikali imesema imeanza kujenga vituo vipya vya Afya 208 na vingine kuvikarabati ambapo zaidi ya shilingi Bilioni 150 kufanikisha hilo

wa nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe.Suleiman Jafo amesema hayo Bungeni mkoani Dodoma wakati akijibu maswali yaliyoelekezwa kwa wizara hiyo

Waziri Jafo amesema sambamba na ujenzi na ukarabati huo ajira mpya  zaidi ya 6000 zitapatikani

Waziri Jafo amesema serikali ipo katika mchakato wa kujenga baadhi ya hospitali za wilaya katika wilaya ambazo hazina hospitali hizo
Serikali kujenga vituo vya afya vipya 208 Serikali kujenga vituo vya afya vipya  208 Reviewed by KUSAGANEWS on June 01, 2018 Rating: 5

No comments: