Naibu Waziri wa maji Mhe.Jumaa Awesso amesema Serikali
inaendelea vyema na jitihada zake za kuhakikisha Watanzania wote wanapata maji
safi na salama ya kunywa.
Naibu Waziri Awesso amesema kuwa hilo linawezekana hasa
baada ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuidhinisha zaidi ya
shilingi Bilioni mia saba kwa wizara hiyo
Amesema kinachotakiwa sasa ni miradi ya maji ambayo ipo
katika utekelezaji wake isimamiwe vyema na wahusika ili iweze kutimiza malengo
yake
Naibu Waziri Awesso alikuwa akijibu maswali Bungeni ambayo
yalikuwa yameelekezwa kwa wizara ya maji.
KERO YA MAJI TANZANIA KUWA HISTORIA
Reviewed by KUSAGANEWS
on
June 01, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
June 01, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment