Dar es Salaam. Rais John Magufuli
amewataka wadau wa usalama barabarani kuchukua hatua madhubuti ili kudhibiti
ajali za barabarani
Hayo yameelezwa na Rais katika
taarifa iliyotumwa na Ofisi ya Mawasiliano ya Ikulu leo Juni 6 ambapo pamoja na
mambo mengine, Rais alituma salamu za rambirambi kwa wote waliopoteza ndugu,
jamaa au rafiki katika ajali ya basi na treni iliyotokea Kigoma
Ajali hiyo imetokea leo asubuhi
katika kijiji cha Gungu, Kigoma mjini baada ya basi la abiria Prince Ramida,
kuigonga treni na kusababisha vifo vya watu 10 na wengine 26 kueruhiwa
Magufuli atoa maagizo kwa wadau wa usalama
Reviewed by KUSAGANEWS
on
June 06, 2018
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
June 06, 2018
Rating:


No comments:
Post a Comment