Mwendesha mashtaka wa serikali, Bi Lydia Batiibwe aliitaka Mahakama kutoa adhabu kali kwa mtuhumiwa Amina ili iwe fundisho kwa watu wanaotoa taarifa za uongo huku nchi hiyo ikikumbwa matukio mengi ya kujiteka makusudi
Mei 26, 2018 mshtakiwa aliandika maelezo ya uongo kwa Askari Polisi ASP Moses Acaye, katika eneo la Ntinda na kudai alikuwa ametekwa na watekaji hao walikuwa wakitaka shilingi za Uganda 500,000
Nchini Uganda kumekuwa na matukio ya watu kujiteka na kudai fedha kutoka kwa watu wa karibu, mathalani Juni 4, 2018 makahama eneo la Kayunga, ilimpata na hatia Bi Rebecca Birabwa (32) kwa makosa ya kujiteka na alihukumiwa kifungo cha miezi sita jela .
Aenda jela kwa kosa la kujiteka
Reviewed by KUSAGANEWS
on
June 05, 2018
Rating:

No comments:
Post a Comment