Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi,
Profesa Makame Mbarawa amewataka watu wanaoishi mabondeni waliogoma kuondoka
baada ya kupata taarifa juu ya hatari inayowanyemelea kuondoka mara moja ili kuepusha majanga
Akizungumza leo Machi 23, Mbarawa amesema
hivi sasa Mamlaka ya Hali ya Hewa Nchini (TMA) inatoa taarifa za hali ya
hewa inayowataka walioko katika maeneo ya mabondeni lakini hawako
tayari kuondoka
“Unapopata taarifa ya hali ya hewa kama
mahali hapo si lazima maana yake ni lazima uondoke, vinginevyo utapata
shida,”amesema Amesema lazima kufuata utabiri wa hali ya hewa ili kujiepusha na majanga yanayoweza kujitokeza kwa kudharau
taarifa zinazotolewa na mamlaka hiyo Amesema zingatia taarifa hali
ya hewa ndio kaulimbiu ya maadhimisho yaliyofanyika jana yakilenga
watu kutopuuza utabiri wa hali ya hewa
Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Dk Agnes Kijazi
alisema makubaliano ya kimataifa ni kuwa na utabiri wenye usahihi kwa asilimia
isiyopungua asilimia 70
“Utabiri wetu sasa umeongezeka usahihi
tumefika hadi asilimia 88 wakati mwingine tunafika asilimia
90,”amesema
Aidha, amesema wamekuwa wakishirikiana na
taasisi nyingine nchini katika kuchukua hatua wanapotoa taarifa za
kutahadharisha watu.
MBARAWA AWATAKA WANAOISHI MABONDENI KUHAMA MARA MOJA
Reviewed by KUSAGANEWS
on
March 23, 2018
Rating:
No comments:
Post a Comment