Mkuu wa Magereza Mkoa wa Dar es
Salaam, Augustino Mboje amesema kuwa hivi sasa wanakamilisha taratibu za kumtoa
gerezani Nguza Viking na mwanaye Papii Kocha
Mboje amesema hayo baada ya Rais
John Magufuli kuwasamehe wafungwa hao ikiwa ni miaka 56 ya uhuru wa Tanzania
Akizungumza na gazeti la Mwananchi
leo Jumamosi jioni, Mboje amesema sasa hivi wanajaza fomu na itakapofika
saa 11 watawaachia wafungwa hao
Tarari ndugu jamaa na marafiki wa
wanamuziki hao wako nje ya gereza la Ukonga jijini Dar es Salaam wakiwasubiria
Ndugu hao ambao wameonekana wakiwa
kwenye magari huku wengine wakizunguka zunguka nje ya gereza hilo kusubiria
taratibu za wanamuziki hao kukamilika ili waachiwe
Mkuu wa Gereza Dar Babu Sea atakuwa Nje Leo
Reviewed by KUSAGANEWS
on
December 09, 2017
Rating:

No comments:
Post a Comment