Shirikisho la vyama vya wafanyakazi
nchini TUCTA limeiomba serikali kuwapa mafao ambao walikuwa watumishi wa serikali
na baadaye kuondolewa kwa kosa la kugushi vyeti ama kuwa na vyeti feki.
Katika hatua nyingine Rais wa shirikisho la amesema kuwa endapo kuna watumishi wa umma wanavyeti feki vinavyosomeka kama vya darasa la saba shirikisho litawachukuliwa hatua kwa kuweka majina yao bayana na kuongeza kuwa waraka uliotolewa na wizara ya utumishi wa umma na utawala bora haujatoa ruhusa kwa wakurugenzi wa halmashauri na mashirika kuwaondoa kazini watumishi wenye vyeti feki vya darasa la saba.
TUCTA yataka waliofukuzwa vyeti feki kulipwa
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 19, 2017
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 19, 2017
Rating:


No comments:
Post a Comment