Aliyekuwa Mgombea Wa CHADEMA mwaka 2015 ahamia CCM

Aliyekuwa Mgombea wa  Udiwani Kata ya Mjini Kati,kupitia chama cha Chadema mwaka  2015 Bwana Self Salumu Simba ,Ametangaza kujiunga na ccm baada ya kukihama cha cha chadema akidai kuwa ni kumuunga mkono rais John Magufuli

Simba Ambaye aliwahi kuwa mwanachama wa chadema na baadae kuhamia ccm kabla ya kujiunga na chadema na Leo ametangaza tena kurejea ccm anatazamwa kama mwanasiasa asiyeaminika mwenye uchu na siasa za kupenda madaraka.

Simba amefikia uamuzi huo Kwa madai ya kusukumwa na utendaji kazi wa mfumo wa Rais Magufuli na kwamba ameahidi kutohama Tena.


Aliyekuwa Mgombea Wa CHADEMA mwaka 2015 ahamia CCM Aliyekuwa Mgombea Wa CHADEMA mwaka 2015 ahamia CCM Reviewed by KUSAGANEWS on March 22, 2018 Rating: 5

No comments: