Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya
Uchaguzi Bw. Kailima Kombwey ametangaza kumteua Mbunge ndugu Rehema Juma
Migira kuwa Mbunge wa viti maalum kupitia Chama Cha (CUF) kufuatia kifo cha
mbunge mteule Bi Hindu Mwenda aliyefariki dunia Septemba 1, 2017.
"Tume ya taifa ya uchaguzi imemteua
ndugu Rehema Juma Migira kuwa mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada
ya kupata taarifa kutoka wa spika ambaye alitutaarifu kuwepo kwa nafasi moja ya
wazi ya viti maalumu kupitia chama cha CUF baada ya aliyeteuliwa kuwa mbunge wa
viti maalum CUF kufariki dunia" alisema Kailima
NEC yamteua mbunge mwingine
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 07, 2017
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
September 07, 2017
Rating:


No comments:
Post a Comment