Bingwa wa rekodi ya dunia katika
mbio za mita 800 Dunia mkenya David Rudisha ameshindwa tena kwa mara
nyengine katika mbio hizo na Bingwa katika mbio hizo Nijel Amos wa
Botswana.
Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 33 ambaye amehudumia mara mbili marufuku ya kutumia dawa za kusisimua misuli alikimbia mda wa sekunde 9.75 kabla ya mashindano ya mwezi ujao ya dunia.
Powell na Gay wote wamekimbia mda wa sekunde 9.92 huku Usain Bolt akiwa bado anauguza jeraha,ijapokuwa ana mpango wa kutetea taji lake katika mbio za Olimpiki mjini Beijing.

Nijel Amos amshinda tena Rudisha
Reviewed by KUSAGANEWS
on
July 10, 2015
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
July 10, 2015
Rating:

No comments:
Post a Comment