Wasanii Naseeb Abdul
‘Diamond Platnumz’ na Faustina Charles ‘Nandy’ wamehojiwa kwa saa mbili na
Mamlaka ya Mawasiliano nchini (TCRA).
Wakizungumza mara
baada ya kumaliza mahojiano hayo yaliyofanyika leo Aprili 19, wasanii hao
wamesema wamejifunza mengi kuhusiana na masuala ya mitandao.
Diamond amesema:
“Ujana ni maji ya moto tumeelimishwa, hatutarudia tena, nitakuwa balozi kwa
vijana wenzangu kuhusu masuala ya mitandao.”
Nandy amesema:
“Nisameheni kwa yaliyotokea. Hapa TCRA nimepata somo kuhusu mitandao, tukio
lile halitajirudia tena.”
Walichokisema Diamond na Nandy Baada ya Kuhojiwa TCRA
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 19, 2018
Rating:
No comments:
Post a Comment