Furaha imetawala ujio wa watoto watatu wa Shule ya Lucky
Vicent waliowasili leo Ijumaa, Agosti 18 wakitokea nchini Marekani
kwenye matibabu baada ya kupata ajali Mei mwaka huu.
Wazazi na ndugu waliruhusiwa kuingia ndani ya ndege hiyo kuwapokea watoto wao ambao wamepata nafuu kwa kiasi kikubwa.
Wilson Tarimo alikuwa wa kwanza kushuka katika ndege akiambatana na mdogo wake aliyeingia katika ndege kwa ajili ya kumpokea.
TAZAMA HAPA KUSAGA NEWS LIVE
LIVE: Mapokezi watoto waliopona ajali ya Lucky Vincent Arusha
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 18, 2017
Rating:
Reviewed by KUSAGANEWS
on
August 18, 2017
Rating:

No comments:
Post a Comment