Rais John Magufuli na Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa wamewasili katika uwanja wa mpira wa miguu wa Mzaina, Chato leo Julai 10.
Rais Magufuli anatarajiwa kuhutubia katika hafla ambayo pia Balozi wa Tanzania Japan, Masaharu Yoshida atakabidhi mtambo wa kukamua mafuta ya alizeti.
Mtambo huo umejengwa kwa ufadhili wa serikali ya Japan.
Jana, Rais Mkapa alizindua nyumba 50 za wahudumu wa afya zilizotolewa kwa hisani ya Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation.
Kwa sasa viongozi mbalimbali wa dini wanafungua hafla hiyo kwa sala.
JPM, Mkapa wawasili Uwanja wa Mzaina chato
Reviewed by KUSAGANEWS
on
July 10, 2017
Rating:
No comments:
Post a Comment