Wanaume wanaodaiwa ‘kuwatelekeza’ watoto na
wake zao wameanza kumiminika katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,
Paul Makonda kuitikia wito baada ya kutakiwa kufikia eneo hilo kutoa maelezo ya
madai yanayowakabili
Leo kumeshuhudiwa wanaume takribani 30
wakiingia eneo hilo huku mamia ya wanawake wakiwashangilia na baadhi kuwazomea
Kufuatia kitendo hicho, askari waliopo eneo
hilo waliwazuia wanawake kutoa lugha yoyote ya kuwakashifu wanaume hao baada ya
wanaume hao kulalamikia kitendo hicho.
Wanaume wazidi kumiminika kwa Makonda
Reviewed by KUSAGANEWS
on
April 11, 2018
Rating:
No comments:
Post a Comment