Wanaume wazidi kumiminika kwa Makonda


Wanaume wanaodaiwa ‘kuwatelekeza’ watoto na wake zao wameanza kumiminika katika ofisi za Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuitikia wito baada ya kutakiwa kufikia eneo hilo kutoa maelezo ya madai yanayowakabili

Leo kumeshuhudiwa wanaume takribani 30 wakiingia eneo hilo huku mamia ya wanawake wakiwashangilia na baadhi kuwazomea

Kufuatia kitendo hicho, askari waliopo eneo hilo waliwazuia wanawake kutoa lugha yoyote ya kuwakashifu wanaume hao baada ya wanaume hao kulalamikia kitendo hicho.

Wanaume wazidi kumiminika kwa Makonda Wanaume wazidi kumiminika kwa Makonda Reviewed by KUSAGANEWS on April 11, 2018 Rating: 5

No comments: