Wananchi 2500 katika kaya
255 wilayani Longido Mkoani Arusha
wanahitaji msaada wa boti na Helikopta ili kupelekewa mahitaji ya Chakula baada ya kukwama kutoka kwenye nyumba zao kwa Wiki mbili ktokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
wanahitaji msaada wa boti na Helikopta ili kupelekewa mahitaji ya Chakula baada ya kukwama kutoka kwenye nyumba zao kwa Wiki mbili ktokana na mvua zinazoendelea kunyesha.
TAZAMA MBUNGE WA JIMBO LA LONGIDO AKIZUNGUMZA
BOTI NA HELIKOPTA ZINAHITAJIKA KUPELEKA MSAADA WA CHAKULA KWA WANANCHI WALIOKWAMA KUTOKANA NA MAJI
Reviewed by KUSAGANEWS
on
March 22, 2018
Rating:
No comments:
Post a Comment