VIONGOZI WAMIMINIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU DKT PHILEMON NDESAMBURO KUTOA POLE KWA FAMILIA.


Baadhi ya viongozi waliofika kutoa pole kwa familia ya marehemu Dkt Ndesamburo.
Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson akitoa mkono wa pole kwa mama Mjane wa Marehemu Dkt Philemoni Ndesamburo ,Ndehorio Ndesamburo alipotembelea nyumbani kwa marehemu kuifariji familia.
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mstaafu ,Saidi Meck Sadiki akisalimiana na Mwenyekiti wa Chadema taifa Freeman Mbowe walipokutana nyumbani kwa marehemu Dkt Ndesamburo.
Mkuu wa Mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akisalimiana na mume wa Mbunge wa viti maalumu Lucy Owenya,Dkt Fidelis Owenya alipofika nyumbani wa marehemu Dkt Ndesamburo kutoa salamu za pole.
Mkuu wa mkoa wa Arusha ,Mrisho Gambo akisalimiana na Mbunge wa jimbo la Rombo Joseph Selasini walipokutana nyumbani kwa marehemu Ndesamburo.
Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani
Bungeni ,Freeman Mbowe akitoa mkono wa Pole kwa mtoto wa marehemu Dkt
Ndesamburo ,Filomena Ndesamburo nyumbani kwao KDC mjini Moshi.
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi mkoa wa Kilimanjaro,Idd Juma akitia saini katika kitabu cha waombolezaji nyumbani kwa marehemu Ndesamburo KDC Mjini Moshi.












VIONGOZI WAMIMINIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU DKT PHILEMON NDESAMBURO KUTOA POLE KWA FAMILIA. VIONGOZI WAMIMINIKA NYUMBANI KWA MAREHEMU DKT PHILEMON NDESAMBURO KUTOA POLE KWA FAMILIA. Reviewed by KUSAGANEWS on June 04, 2017 Rating: 5

No comments: